Sheta ni mojawapo ya vijana ambao wameamua kuwekeza katika muziki huo kwa kuthibitisha hilo nyimbo
yake ya kerewa kaenda kufanyia SOUTH AFRICA
Kupitia interview ambayo ameifanya na Young luvega.com amekubali kutaja kiasi cha pesa ambacho ukiacha mambo mengine imeghalimu millioni 25
Yah ambapo kumchukua Director God Father peke yake imeghalimu million 19 vilevile kukaa hotelini
imeghalimu kama 450000 ila namshukulu mungu kila
kitu kimeenda kama nilivyotaka.
0 comments:
Chapisha Maoni