KUITAZAMA BONYEZA PLAY.
Jumanne, 1 Julai 2014
Home »
» UMEICHEKI VIDEO YA KALA JEREMIAH ALIYOMSHIRIKISHA MO MUSIC IKO HAPA
UMEICHEKI VIDEO YA KALA JEREMIAH ALIYOMSHIRIKISHA MO MUSIC IKO HAPA
Inawezekana ikawa ndiyo wimbo wa kwanza kushirikishwa na msanii kubwa baada ya kuchomoza na single yake ya Basi Nenda huyu ni Mo Music ambapo Tanzania imemtambua kwa singo yake ya Basi Nenda ambayo kupitia Clouds Fm Top 20 ni wiki ya 3 sasa imeshika nafasi ya kwanza.
Kala Jeremiah kamshirikisha kwenye single yake mpya iitwayo Simu ya Mwisho yeye pamoja na Nay wa Mitego,ambapo kupitia Exclusive Interview na Young luvega.com amesema saa chache baada ya kutoka kwa video hii baadhi ya waongozaji[director] wamemuomba kuitengenezea movie.
KUITAZAMA BONYEZA PLAY.
KUITAZAMA BONYEZA PLAY.
Related Posts:
ITALIA WAJA NA UTAALAMU WA KUPANDIKIZA KICHWA KWA MTU Mtaalam wa upasuaji wa mfumo wa neva (neurosurgeon) Sergio Canavero kutoka nchini Italia, anakusudia kufanya jaribio la kwanza la kupandikiza kichwa cha binadamu kwenye mwili wa binadamu mwingine, ifikapo mwakani. Wataalam… Read More
WASOMI WAKOSOA ASILIMIA 2% YA KODI ALIYOPUNGUZA RAIS MAGUFULI Siku moja baada ya Rais Magufuli kushusha Kodi ya Mapato ya Mshahara ( Pay as you Earn – PAYE ) kutoka asilimia 11 iliyopo sasa hadi asilimia 9. Wataalamu wa uchumi nchini wamelipokea katika mtazamo tofauti Mtaalamu wa Uchum… Read More
PENZI la Mwanamuziki Shaa na Master Jay...Shaa Afunguka Kinachoendelea Kwa Sasa....Master J na Shaa wamekuwa kwenye uhusiano kwa miaka mingi sasa na wameendelea kuwa imara. akini pamoja na kuwa hivyo, bado uhusiano wao wa kikazi una nafasi kubwa zaidi. Hali hiyo ndiyo imemfanya Shaa kujitahidi kutofautisha … Read More
PROF MUHONGO: TATIZO LA UMEME KUISHA MWAKA HUU MWEZI SEPTEMBA SERIKALI inatarajia kuzindua mradi mkubwa wa kuboresha miundombinu ya kusafirisha umeme Septemba mwaka huu, utakaomaliza tatizo la umeme kukatika. Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo alisema kwa sasa miun… Read More
Ole Wao Wanaowapa Ujauzito Wanafunzi-Ummy Serikali imewaagiza Maafisa maendeleo ya Jamii na maafisa ustawi wa Jamii wa wilaya,kata na mikoa nchini kuwafatilia wanaume wanaowapa ujauzio wanaume wanaowapa ujauzito watoto wa shule na kuwafikisha Mahakamani. Akizungumza… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni