Karrueche Tran mrembo ambae ni mpenzi wa mwimbaji staa wa dunia Chris Brown alihusika kama mtangazaji na kuhoji watu mbalimbali waliohudhuria tuzo za BET 2014 ambazo Mtanzania Diamond Platnumz alichaguliwa kushiriki kama msanii kutoka Afrika na tuzo hiyo kuchukuliwa na Davido wa Nigeria.
Katika watu ambao Karrueche aliwahoji ni Diamond Platnumz ambae alielezea ni jinsi gani amefurahi kuwepo kwenye kuwania tuzo ya BET 2014, alimtaja msanii ambae angependa kumuona kwenye stage ndani ya usiku huu pamoja na mengine tazama kwenye hii video fupi hapa chini.
WAATHIRIWA WA MABOMU MBAGALA WALALAMIKA
Nyumba iliyoharibiwa na bomu kama inavyoonekana.
Mkutano kati ya waandishi habari na Waathirika
wa Mabomu Mbagala, ambao umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi
Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam mapema leo .
Waathi…Read More
Shearer asema Welbeck atang'ara Arsenal
Mshambuliaji wa Arsenal Danny Wellbeck kushoto
Mshambuliaji mpya wa kilabu ya Arsenal Danny
Welbeck anaweza kufunga mabao 25 kwa msimu mmoja ,hayo ni matamshi ya
aliyekuwa …Read More
WANACHAMA 100 WA BOKO HARAM WAUAWA
jeshi la Nigeria
Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaua zaidi
ya wanamgambo 100 wa kundi la Boko Haram kufuatia shambulizi la
wapiganaji hao siku ya ijumaa kazkazini mashariki mwa jimbo la Borno.
Vikosi
vya ser…Read More
MFUNGWA AKUTWA NA SIMU MWILINI
Tatizo la kuingiza bidhaa kimagendo ndani ya magereza ya Kenya imekuwa kero kubwa kwa maafisa wa magereza.
Kwa baadhi ya watu simu ya mkononi ni kifaa tu
cha mawasIliano ilihali kwa wengine ni kifa ambacho kinaweza …Read More
0 comments:
Chapisha Maoni