Jumanne, 1 Julai 2014
Home »
» UMEISIKIA HII INAYOUSU MKATABA WA YOUNG KILLER NA MENEJA WAKE MONA GANGSTAR
UMEISIKIA HII INAYOUSU MKATABA WA YOUNG KILLER NA MENEJA WAKE MONA GANGSTAR
Mkataba wa Young killer pamoja na meneja wake ambaye vilevile ni produce wake Mona Gangstar,inawezekana huko
mwishoni ingawa unaisha december mwezi huu ingawa taarifa hazina huakika.
Related Posts:
Hivi Ndivyo Uzuri wa House Girl Ulivyomponza Mke wa MTU Mpaka Akaambukizwa Ukimwi Inasikitisha sana. Fuatilia mkasa huu mwanzo mwisho.... Mke alimhisi mmewe kuwa anatembea na housegirl wao kutokana na ukweli kuwa, housegirl alikuwa mzuri mno kimuonekano, kiumbo na kwa sura. Alifikiri kumfukuza ila m… Read More
Harmo Rappa Azidi Kutembelea Nyota za Wasanii Wakubwa...Amchokoza AY Msanii Ay mzee wa commercial ameamua kumuachia jina lake Rapa anayekuja kwa kasi kwenye Bongo Fleva HamoRappa. Jina la Legend alikuwa akitumia mzee wa commercial kwenye mtandao wa Twitter lakini sasa ameliachia ra… Read More
Unatamani Kumuacha ila Unashindwa? Ngoja Nikwambie Kitu Kuna watu wana Mikwara sana, ukiachana nae anaanza Maneno ya shombo, wengine hudiriki kukwambia ''you cant live without me utarudi tu'', unajiuliza huyu mtu ana Hisa kwenye mishipa yangu ya moyo au ana mrija wa Oxygen… Read More
Exclusive..Baada ya Kutemwa Yanga,Pluijm Kutua Taifa Stars,Mpango Mzima Uko Hivi..!!! UNAAMBIWA ukiona cha nini mwenzako anasema nitakipata lini, kwani baada ya Yanga kuamua kumtema kocha wao za zamani, Hans van der Pluijm, nyota ya Mholanzi huyo imezidi kung’aa na sasa ana ofa mbalimbali kutoka ndani … Read More
Ukweli Mchungu Kuhusu Anayejiita Mdogo wa Gwajima...!!!! Amejitokeza mtu mmoja na kufanya press conference kwa jina anajulikana kama Methusela Gwajima , huyu Bwana ni Mwanasheria na ameajiriwa kwenye law firm ya Francis Stolla ambaye anagombea Urais wa TLS . Huyu Mwanashe… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni