Jumanne, 1 Julai 2014

Canada wamefungisha hizi ndoa 115 za jinsia moja kwa wakati mmoja.

Wapenzi wa muda mrefu Richard Laslett na Collin Gunther ambao wamedumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka 37 wamepata nafasi ya kuwa moja kati ya wapenzi wa jinsia moja 115 waliofungishwa ndoa kwa wakati mmoja mjini Toronto, Canada.
Ndoa hizo zimefungwa kwa pamoja na kuwakutanisha wapenzi wa jinsia moja kutoka maeneo mbalimbali duniani kusherekea nguvu ya mapenzi yao.

Meya wa Toronto Norm Kelly amesema wanandoa hao wamekutana na kufurahia hatua hiyo muhimu ya kufunga pingu za maisha.

Takribani nchi 15 duniani sasa zimeruhusu mapenzi ya jinsia moja .







Unaweza kuangalia video hapo chini kuona jinsi tukio hilo lilivyokuwa.








Related Posts:

  • WAATHIRIWA WA MABOMU MBAGALA WALALAMIKA Nyumba iliyoharibiwa na bomu kama inavyoonekana. Mkutano kati ya waandishi habari na Waathirika wa Mabomu Mbagala, ambao umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam mapema leo . Waathi… Read More
  • WANACHAMA 100 WA BOKO HARAM WAUAWA   jeshi la Nigeria Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaua zaidi ya wanamgambo 100 wa kundi la Boko Haram kufuatia shambulizi la wapiganaji hao siku ya ijumaa kazkazini mashariki mwa jimbo la Borno. Vikosi vya ser… Read More
  • Shearer asema Welbeck atang'ara Arsenal  Mshambuliaji wa Arsenal Danny Wellbeck kushoto  Mshambuliaji mpya wa kilabu ya Arsenal Danny Welbeck anaweza kufunga mabao 25 kwa msimu mmoja ,hayo ni matamshi ya aliyekuwa … Read More
  • UGANDA YAHARIBU SHAMBULIZI LA KIGAIDI  Vikosi vya usalama nchini Uganda  Maafisa wa polisi nchini Uganda wameimarisha usalama katika maeneo mengi ya uma katika mji mkuu wa Kampala kufuatia kukamatwa kwa washukiwa kadhaa wa makundi ya kigaidi na vil… Read More
  • MFUNGWA AKUTWA NA SIMU MWILINI  Tatizo la kuingiza bidhaa kimagendo ndani ya magereza ya Kenya imekuwa kero kubwa kwa maafisa wa magereza. Kwa baadhi ya watu simu ya mkononi ni kifaa tu cha mawasIliano ilihali kwa wengine ni kifa ambacho kinaweza … Read More

0 comments:

Chapisha Maoni