Katikati ya June 2014 Linah alizungumza na Young luvega.com akiwa South Africa na kuthibitisha kwamba kilichompeleka huko
na kumfanya akae kwa zaidi ya siku 20 ni kazi ya muziki.
Miongoni mwa alivyokua anavifata ni kufanya kolabo na Oskido staa wa muziki wa Afrika kusini ambae ndio anawasimamia Mafikizolo ambao pia wanarekodi kwenye studio yake
Baada ya kutua Dar es salaam akitokea Johannesburg, Linah ameithibitishia Young luvega .com kwamba tayari amefanya kolabo na kundi la Uhuru ambao walishirikishwa kwenye wimbo wa ‘khona’ na Mafikizolo.
Kwenye studio ya Oskido, palepale wanaporekodi mastaa wengine kama Mafikizolo wenyewe na Davido pia alierekodia hapo kolabo na Mafikizolo, Linah ndio amerekodi hiyo kolabo na kundi la Uhuru.
Wimbo wake umefanywa na producer kutoka pia kwenye kundi hilohilo la UHURU ambae ndio amehusika vilevile kwenye kolabo ya Mafikizolo na Diamond Platnumz.
Kolabo alizorekodi South Africa ni mbili ikiwemo moja aliyoshirikishwa na Dj Malvado ambae yupo kwenye ile hit ya ‘Atchu tchutcha’ ambapo pia Linah amethibitisha kwamba kwa kipindi chote cha zaidi ya siku 20 Afrika kusini, amerekodi video na God father Director ambae amefanya video nyingi kubwa za Afrika zikiwemo za P Square, Davido, Diamond na wengine.
Jumanne, 1 Julai 2014
Home »
» Linah amerudi Dar! ameongea kuhusu kolabo na Uhuru na Dj Malvado South Africa
Linah amerudi Dar! ameongea kuhusu kolabo na Uhuru na Dj Malvado South Africa
Related Posts:
Rekodi aliyoivunja Diamond Platnumz na kuiacha ya P Square . Tumeshazoea kuona baadhi ya mastaa wa Afrika wanapoweka video zao kwenye youtube wanapata views nyingi ndani ya siku chache lakini Good news time hii imeangukia kwa mkali wa Tanzania. Mmiliki wa… Read More
Picha ya kwanza ya mbrazil mpya wa Yanga mazoezini, je atafuzu majaribioWiki iliyopita nilikuletea taarifa juu ya ujio wa mchezaji mpya wa kimataifa wa klabu ya Yanga Emerson de Oliveira Neves Roque – mbrazil ambaye ameletwa nchini kuja kufanya majaribio na endapo ikifuzu basi ndio itac… Read More
Mnigeria mwingine kwenye hatia ya kusafirisha dawa za kulevya Idadi ya raia wa Nigeria wanaokamatwa na dawa za kulevya inazidi kupanda siku hadi siku, ambapo taarifa iliyopo ni kwamba mtu mmoja mwenye umri wa miaka 35 amehukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kusafiri… Read More
Picha: Diamond Platnumz na Fally Ipupa kwa mara nyingine tena kwenye Mjengo wa BBA Hii ni mara ya pili kwa msanii Diamond Platnumz kualikwa ndani ya jumba la BBA akiwa na mwanamuziki kutoka Congo, Fally Ipupa ambapo wameshiriki chakula cha mchana pamoja na washiriki waliobaki kwenye Jumba hilo, … Read More
Baada ya ishu ya Escrow, haya ni majibu mawili ya Waziri Mkuu Pinda ikiwemo kujiuzulu Kikao cha Bunge leo Novemba 27 kimeanza kwa maswali mawili kuulizwa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda. “…Chini ya uongozi wako kama Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa T… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni