Katikati ya June 2014 Linah alizungumza na Young luvega.com akiwa South Africa na kuthibitisha kwamba kilichompeleka huko
na kumfanya akae kwa zaidi ya siku 20 ni kazi ya muziki.
Miongoni mwa alivyokua anavifata ni kufanya kolabo na Oskido staa wa muziki wa Afrika kusini ambae ndio anawasimamia Mafikizolo ambao pia wanarekodi kwenye studio yake
Baada ya kutua Dar es salaam akitokea Johannesburg, Linah ameithibitishia Young luvega .com kwamba tayari amefanya kolabo na kundi la Uhuru ambao walishirikishwa kwenye wimbo wa ‘khona’ na Mafikizolo.
Kwenye studio ya Oskido, palepale wanaporekodi mastaa wengine kama Mafikizolo wenyewe na Davido pia alierekodia hapo kolabo na Mafikizolo, Linah ndio amerekodi hiyo kolabo na kundi la Uhuru.
Wimbo wake umefanywa na producer kutoka pia kwenye kundi hilohilo la UHURU ambae ndio amehusika vilevile kwenye kolabo ya Mafikizolo na Diamond Platnumz.
Kolabo alizorekodi South Africa ni mbili ikiwemo moja aliyoshirikishwa na Dj Malvado ambae yupo kwenye ile hit ya ‘Atchu tchutcha’ ambapo pia Linah amethibitisha kwamba kwa kipindi chote cha zaidi ya siku 20 Afrika kusini, amerekodi video na God father Director ambae amefanya video nyingi kubwa za Afrika zikiwemo za P Square, Davido, Diamond na wengine.
Jumanne, 1 Julai 2014
Home »
» Linah amerudi Dar! ameongea kuhusu kolabo na Uhuru na Dj Malvado South Africa
Linah amerudi Dar! ameongea kuhusu kolabo na Uhuru na Dj Malvado South Africa
Related Posts:
Hizi ndizo siku zilizobaki hadi wimbo mpya wa @Shaa_tz utoke. Kama bado haujaona picha na video za behind the scene wakati Shaa anarekodi video ya wimbo huu basi utaziona hapa. Wimbo unaitwa Subira ukiwa ni wa pili tangu aanza kufanya kazi na Mkubwa na wanae baada ya kutoa Sugua gaga.… Read More
Hii ni nafasi yako kuangalia video mpya ya Shetta aliyofanyia South Africa. Baada ya kusubili kwa muda mrefu hivi sasa unaweza kuangalia video ya Sheta akiwa na Diamond kwenye video ya Kerewa Kerewa waliyo shoot South Africa. Video ina dakika 3 na sekunde 16, enjoy kuiangalia hapa .… Read More
Ebana umekiona kipande cha video ya Diamond ft Iyanya..kipo hapa Hii h Diamond ameshafanya kazi nyingi ambazo bado hazijatoka, moja kati ya hizo ni audio na video yake na Iyanya.apa ni teaser ya video ya wimbo wa Bum bum akiwa na Iyanya. Sekunde 15 zinatosha kuangalia teaser yote, e… Read More
Nakualika kutazama video mpya ya Ben Pol – Unanichora. Hii ni video ambayo imeongozwa na mshindi wa tuzo ya Muongozaji[Director] anayependwa Nisher kutoka Arusha,ni video ya pili kutoka kwa Ben Pol baada ya kufanya nae video ya Jikubali,baada ya kuangalia unaweza kuandika choch… Read More
Canada wamefungisha hizi ndoa 115 za jinsia moja kwa wakati mmoja. Wapenzi wa muda mrefu Richard Laslett na Collin Gunther ambao wamedumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka 37 wamepata nafasi ya kuwa moja kati ya wapenzi wa jinsia moja 115 waliofungishwa ndoa kwa wakati mmoja mjini Toronto… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni